登入
登入
登入
选择语言

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis 经注: Al-Mu'minun 阿雅 96

23:96
ادفع بالتي هي احسن السيية نحن اعلم بما يصفون ٩٦
ٱدْفَعْ بِٱلَّتِى هِىَ أَحْسَنُ ٱلسَّيِّئَةَ ۚ نَحْنُ أَعْلَمُ بِمَا يَصِفُونَ ٩٦
ٱدۡفَعۡ
بِٱلَّتِي
هِيَ
أَحۡسَنُ
ٱلسَّيِّئَةَۚ
نَحۡنُ
أَعۡلَمُ
بِمَا
يَصِفُونَ
٩٦
你应当以德报怨,我知道他们所描叙的。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Pindi wanapokufanyia ubaya maadui zako, ewe Mtume, kwa maneno au vitendo, basi usiwalipe ubaya, lakini uondoshe ubaya wao kwa kuwafanyia wema. Sisi tunayajua mno yale wanayokubandika washirikina ya sifa za ushirikina na kukukanusha, na Atawalipa kwa hayo malipo maovu mno.