登入
登入
登入
选择语言

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis 经注: Ad-Duhaa 阿雅 2

93:2
والليل اذا سجى ٢
وَٱلَّيْلِ إِذَا سَجَىٰ ٢
وَٱلَّيۡلِ
إِذَا
سَجَىٰ
٢
誓以黑夜,当其寂静的时候,
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Na kwa usiku utuliapo na viumbe na likashadidi giza lake. Mwenyezi Mungu Huapa kwa Atakacho katika viumbe vyake. Ama kiumbe, hafai kuapa kwa asiyekuwa Muumba wake. Kuapa kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu ni ushirikina.