Ingia
Ingia
Ingia
Chagua Lugha

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsiri: At-Tur Ayah 46

52:46
يوم لا يغني عنهم كيدهم شييا ولا هم ينصرون ٤٦
يَوْمَ لَا يُغْنِى عَنْهُمْ كَيْدُهُمْ شَيْـًۭٔا وَلَا هُمْ يُنصَرُونَ ٤٦
يَوۡمَﲹ
لَاﲺ
يُغۡنِيﲻ
عَنۡهُمۡﲼ
كَيۡدُهُمۡﲽ
شَيۡـٔٗاﲾ
وَلَاﲿ
هُمۡﳀ
يُنصَرُونَﳁ
٤٦ﳂ
Siku ambayo hila zao hazitawafaa hata kidogo, wala wao hawatanusuriwa. 1
Tafsir
Tabaka
Mafunzo
Tafakari
Majibu
Qiraat
Hadith
Katika Siku hiyo havitawazuilia wao vitimbi vyao kotokana na adhabu ya Mwenyezi Mungu kitu chochote, na hatawanusuru yoyote kuwaokoa na adhabu ya Mwenyezi Mungu.