Ingia
Ingia
Ingia
Chagua Lugha

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsiri: An-Nur Ayah 49

24:49
وان يكن لهم الحق ياتوا اليه مذعنين ٤٩
وَإِن يَكُن لَّهُمُ ٱلْحَقُّ يَأْتُوٓا۟ إِلَيْهِ مُذْعِنِينَ ٤٩
وَإِنﲚ
يَكُنﲛ
لَّهُمُﲜ
ٱلۡحَقُّﲝ
يَأۡتُوٓاْﲞ
إِلَيۡهِﲟ
مُذۡعِنِينَﲠ
٤٩ﲡ
Na ikiwa haki ni yao, wanamjia kwa kut'ii. 1
Tafsir
Tabaka
Mafunzo
Tafakari
Majibu
Qiraat
Hadith
Na iwapo haki iko upande wao, basi wao wanakuja kwa Nabii, rehema na amani zimshukie, wakiwa watiifu na kuwa tayari kuiandama hukumu yake, kwa kutambua kwao kwamba yeye atatoa uamuzi wa haki.