Ingia
Ingia
Ingia
Chagua Lugha

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsiri: An-Naml Ayah 85

27:85
ووقع القول عليهم بما ظلموا فهم لا ينطقون ٨٥
وَوَقَعَ ٱلْقَوْلُ عَلَيْهِم بِمَا ظَلَمُوا۟ فَهُمْ لَا يَنطِقُونَ ٨٥
وَوَقَعَﲡ
ٱلۡقَوۡلُﲢ
عَلَيۡهِمﲣ
بِمَاﲤ
ظَلَمُواْﲥ
فَهُمۡﲦ
لَاﲧ
يَنطِقُونَﲨ
٨٥ﲩ
Na kauli itawaangukia juu yao kwa vile walivyo dhulumu. Basi hao hawatasema lolote. 1
Tafsir
Tabaka
Mafunzo
Tafakari
Majibu
Qiraat
Hadith
Hapo lithibiti juu yao neno la adhabu kwa sababu ya udhalimu wao na ukanushaji wao, na watakuwa hawatamki neno lenye hoja ya wao kujitetea nafsi zao ili kujiepushia adhabu kali iliyowashukia.