Ingia
Ingia
Ingia
Chagua Lugha

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsiri: Al-Muuminun Ayah 20

23:20
وشجرة تخرج من طور سيناء تنبت بالدهن وصبغ للاكلين ٢٠
وَشَجَرَةًۭ تَخْرُجُ مِن طُورِ سَيْنَآءَ تَنۢبُتُ بِٱلدُّهْنِ وَصِبْغٍۢ لِّلْـَٔاكِلِينَ ٢٠
وَشَجَرَةٗﱞ
تَخۡرُجُﱟ
مِنﱠ
طُورِﱡ
سَيۡنَآءَﱢ
تَنۢبُتُﱣ
بِٱلدُّهۡنِﱤ
وَصِبۡغٖﱥ
لِّلۡأٓكِلِينَﱦ
٢٠ﱧ
Na mti utokao katika mlima wa Sinai, unatoa mafuta na kuwa kitoweo kwa walao. 1
Tafsir
Tabaka
Mafunzo
Tafakari
Majibu
Qiraat
Hadith
Na tukawatolea nyinyi kwa maji hayo mizaituni ambayo inatoka kandokando ya jabali la Tūr Ṣīnā’ ambao unakamuliwa mafuta ya kujipaka na kutumia kwa chakula.