Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Saba Ayah 38

34:38
والذين يسعون في اياتنا معاجزين اولايك في العذاب محضرون ٣٨
وَٱلَّذِينَ يَسْعَوْنَ فِىٓ ءَايَـٰتِنَا مُعَـٰجِزِينَ أُو۟لَـٰٓئِكَ فِى ٱلْعَذَابِ مُحْضَرُونَ ٣٨
وَٱلَّذِينَﲶ
يَسۡعَوۡنَﲷ
فِيٓﲸ
ءَايَٰتِنَاﲹ
مُعَٰجِزِينَﲺ
أُوْلَٰٓئِكَﲻ
فِيﲼ
ٱلۡعَذَابِﲽ
مُحۡضَرُونَﲾ
٣٨ﲿ
As for those who strive to discredit Our revelations, it is they who will be confined in punishment.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na wale wanaokimbilia kuzibatilisha hoja zetu na wanaozuia njia ya Mwenyezi Mungu isifuatwe wakiwa wapinzani na washindani, hawa wataingia ndani ya adhabu ya Jahanamu Siku ya Kiyama, watahudhuriwa na Zabāniyah, ambao ni askari wa Motoni, na hawatatoka humo.