Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Saba Ayah 24

34:24
۞ قل من يرزقكم من السماوات والارض قل الله وانا او اياكم لعلى هدى او في ضلال مبين ٢٤
۞ قُلْ مَن يَرْزُقُكُم مِّنَ ٱلسَّمَـٰوَٰتِ وَٱلْأَرْضِ ۖ قُلِ ٱللَّهُ ۖ وَإِنَّآ أَوْ إِيَّاكُمْ لَعَلَىٰ هُدًى أَوْ فِى ضَلَـٰلٍۢ مُّبِينٍۢ ٢٤
۞ قُلۡﱛ ﱜ
مَنﱝ
يَرۡزُقُكُمﱞ
مِّنَﱟ
ٱلسَّمَٰوَٰتِﱠ
وَٱلۡأَرۡضِۖﱡﱢ
قُلِﱣ
ٱللَّهُۖﱤﱥ
وَإِنَّآﱦ
أَوۡﱧ
إِيَّاكُمۡﱨ
لَعَلَىٰﱩ
هُدًىﱪ
أَوۡﱫ
فِيﱬ
ضَلَٰلٖﱭ
مُّبِينٖﱮ
٢٤ﱯ
Ask ˹them, O  Prophet˺, “Who provides for you from the heavens and the earth?” Say, “Allah! Now, certainly one of our two groups1 is ˹rightly˺ guided; the other is clearly astray.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Sema, ewe Mtume, kuwaambia washirikina, «Ni nani anayewaruzuku kwa mvua kutoka mbinguni, na kwa mimea na madini na vinginevyo kutoka ardhini?» Hivyo basi hawana budi kukubali kuwa Yeye ni Mwenyezi Mungu. Na iwapo hawatakubali hilo, waambie, «Mwenyezi Mungu Ndiye Mwingi wa kuruzuku, na kwa hakika mojawapo wa mapote mawili, kati ya sisi na nyinyi, limejikita kwenye uongofu au limevama kwenye upotevu ulio wazi.»