Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Saba Ayah 20

34:20
ولقد صدق عليهم ابليس ظنه فاتبعوه الا فريقا من المومنين ٢٠
وَلَقَدْ صَدَّقَ عَلَيْهِمْ إِبْلِيسُ ظَنَّهُۥ فَٱتَّبَعُوهُ إِلَّا فَرِيقًۭا مِّنَ ٱلْمُؤْمِنِينَ ٢٠
وَلَقَدۡﲜ
صَدَّقَﲝ
عَلَيۡهِمۡﲞ
إِبۡلِيسُﲟ
ظَنَّهُۥﲠ
فَٱتَّبَعُوهُﲡ
إِلَّاﲢ
فَرِيقٗاﲣ
مِّنَﲤ
ٱلۡمُؤۡمِنِينَﲥ
٢٠ﲦ
Indeed, Iblîs’ assumption about them has come true,1 so they ˹all˺ follow him, except a group of ˹true˺ believers.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na kwa hakika alidhani Iblisi dhana isiyo ya ukweli kuwa atawapoteza wanadamu na kwamba wao watamtii yeye katika kumuasi Mwenyezi Mungu, na dhana yake kwao ikawa ya kweli, kwa kuwa wao walimtii yeye na wakamuasi Mola wao , isipokuwa kundi la wenye kumuamini Mwenyezi Mungu, kwani wao walijikita kwenye utiifu wa Mwenyezi Mungu.