Войти
Войти
Войти
Выберите язык

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Тафсир: Al-Mursalat Ая 38

77:38
هاذا يوم الفصل جمعناكم والاولين ٣٨
هَـٰذَا يَوْمُ ٱلْفَصْلِ ۖ جَمَعْنَـٰكُمْ وَٱلْأَوَّلِينَ ٣٨
هَٰذَا
يَوۡمُ
ٱلۡفَصۡلِۖ
جَمَعۡنَٰكُمۡ
وَٱلۡأَوَّلِينَ
٣٨
Вот День различения! Мы собрали вас и тех, кто был прежде.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Hii ni Siku ambayo Mwenyezi Mungu Atatoa uamuzi baina ya viumbe, na ukweli na ubatilifu utapambanuka. Tutawakusanya nyinyi Siku hiyo, enyi makafiri wa ummah huu, pamoja na makafiri wa mwanzo miongoni mwa ummah waliopita.