Entrar
Entrar
Entrar
Selecione o idioma

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Ya-Sin Aia 21

36:21
اتبعوا من لا يسالكم اجرا وهم مهتدون ٢١
ٱتَّبِعُوا۟ مَن لَّا يَسْـَٔلُكُمْ أَجْرًۭا وَهُم مُّهْتَدُونَ ٢١
ٱتَّبِعُواْﲗ
مَنﲘ
لَّاﲙ
يَسۡـَٔلُكُمۡﲚ
أَجۡرٗاﲛ
وَهُمﲜ
مُّهۡتَدُونَﲝ
٢١ﲞ
Segui aqueles que não vos exigem recompensa alguma e são encaminhados!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Wafuateni wale wasiotaka mali kutoka kwenu kwa kufikisha Ujumbe na hali wao wako kwenye uongofu katika kile wanachowaitia cha kumuabudu Mwenyezi Mungu Peke Yake.» Katika hii kuna kueleza ubora wa mwenye kukimbilia kuamrisha mema na kukataza maovu.