Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Muhammad Ayah 21

47:21
طاعة وقول معروف فاذا عزم الامر فلو صدقوا الله لكان خيرا لهم ٢١
طَاعَةٌۭ وَقَوْلٌۭ مَّعْرُوفٌۭ ۚ فَإِذَا عَزَمَ ٱلْأَمْرُ فَلَوْ صَدَقُوا۟ ٱللَّهَ لَكَانَ خَيْرًۭا لَّهُمْ ٢١
طَاعَةٞﱟ
وَقَوۡلٞﱠ
مَّعۡرُوفٞۚﱡﱢ
فَإِذَاﱣ
عَزَمَﱤ
ٱلۡأَمۡرُﱥ
فَلَوۡﱦ
صَدَقُواْﱧ
ٱللَّهَﱨ
لَكَانَﱩ
خَيۡرٗاﱪ
لَّهُمۡﱫ
٢١ﱬ
to obey and speak rightly. Then when fighting was ordained, it surely would have been better for them if they were true to Allah.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Basi lililo bora kwa hawa ambao ndani ya nyoyo zao mna maradhi wamtii Mwenyezi Mungu na wasema neno linaoafikiana na Sheria. Vita vinapopasa na ikaja amri ya Mwenyezi Mungu kuilazimisha, hawa wanafiki wanachukia hilo. Na lau wao wangalikuwa wakweli kwa Mwenyezi Mungu katika kuamini na kutenda mema, hilo lingalikuwa bora kwao kuliko kufanya maasia na kuenda kinyume.