Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Muhammad Ayah 13

47:13
وكاين من قرية هي اشد قوة من قريتك التي اخرجتك اهلكناهم فلا ناصر لهم ١٣
وَكَأَيِّن مِّن قَرْيَةٍ هِىَ أَشَدُّ قُوَّةًۭ مِّن قَرْيَتِكَ ٱلَّتِىٓ أَخْرَجَتْكَ أَهْلَكْنَـٰهُمْ فَلَا نَاصِرَ لَهُمْ ١٣
وَكَأَيِّنﱙ
مِّنﱚ
قَرۡيَةٍﱛ
هِيَﱜ
أَشَدُّﱝ
قُوَّةٗﱞ
مِّنﱟ
قَرۡيَتِكَﱠ
ٱلَّتِيٓﱡ
أَخۡرَجَتۡكَﱢ
أَهۡلَكۡنَٰهُمۡﱣ
فَلَاﱤ
نَاصِرَﱥ
لَهُمۡﱦ
١٣ﱧ
˹Imagine, O  Prophet,˺ how many societies We destroyed that were far superior in might than your society—which drove you out—and there was none to help them!
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na wengi miongoni mwa watu wa mijini walikuwa wana nguvu zaidi kuliko watu wa mji wako, ewe Mtume, ambao ni Makkah, waliokutoa watu wake humo. Watu wa miji hiyo tuliwaangamiza kwa adhabu za aina mbalimbali. Hawakuwa na msaidizi wa kuwanusuru kutokana na adhabu ya Mwenyezi Mungu.