Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Hud Ayah 10

11:10
ولين اذقناه نعماء بعد ضراء مسته ليقولن ذهب السييات عني انه لفرح فخور ١٠
وَلَئِنْ أَذَقْنَـٰهُ نَعْمَآءَ بَعْدَ ضَرَّآءَ مَسَّتْهُ لَيَقُولَنَّ ذَهَبَ ٱلسَّيِّـَٔاتُ عَنِّىٓ ۚ إِنَّهُۥ لَفَرِحٌۭ فَخُورٌ ١٠
وَلَئِنۡﲙ
أَذَقۡنَٰهُﲚ
نَعۡمَآءَﲛ
بَعۡدَﲜ
ضَرَّآءَﲝ
مَسَّتۡهُﲞ
لَيَقُولَنَّﲟ
ذَهَبَﲠ
ٱلسَّيِّـَٔاتُﲡ
عَنِّيٓۚﲢﲣ
إِنَّهُۥﲤ
لَفَرِحٞﲥ
فَخُورٌﲦ
١٠ﲧ
But if We give them a taste of prosperity after being touched with adversity, they say, “My ills are gone,” and become totally prideful and boastful,
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na lau tutamnyoshea mwanadamu dunia yake na tukamkunjulia riziki yake baada ya dhiki za maisha, atasema hapo, «Nimeondokewa na dhiki na shida.» Hakika yeye ni mwenye kujigamba kwa hizo neema, ni mwenye kuendelea sana katika kujifahiri na kujitukuza kwa watu.