Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Ghafir Ayah 66

40:66
۞ قل اني نهيت ان اعبد الذين تدعون من دون الله لما جاءني البينات من ربي وامرت ان اسلم لرب العالمين ٦٦
۞ قُلْ إِنِّى نُهِيتُ أَنْ أَعْبُدَ ٱلَّذِينَ تَدْعُونَ مِن دُونِ ٱللَّهِ لَمَّا جَآءَنِىَ ٱلْبَيِّنَـٰتُ مِن رَّبِّى وَأُمِرْتُ أَنْ أُسْلِمَ لِرَبِّ ٱلْعَـٰلَمِينَ ٦٦
۞ قُلۡﲰ ﲱ
إِنِّيﲲ
نُهِيتُﲳ
أَنۡﲴ
أَعۡبُدَﲵ
ٱلَّذِينَﲶ
تَدۡعُونَﲷ
مِنﲸ
دُونِﲹ
ٱللَّهِﲺ
لَمَّاﲻ
جَآءَنِيَﲼ
ٱلۡبَيِّنَٰتُﲽ
مِنﲾ
رَّبِّيﲿ
وَأُمِرۡتُﳀ
أَنۡﳁ
أُسۡلِمَﳂ
لِرَبِّﳃ
ٱلۡعَٰلَمِينَﳄ
٦٦ﳅ
Say, ˹O Prophet,˺ “I have been forbidden to worship those ˹idols˺ you worship besides Allah, since clear proofs have come to me from my Lord. And I have been commanded to ˹fully˺ submit to the Lord of all worlds.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Sema, ewe Mtume, uwaambie washirikina wa watu wako, «Hakika mimi nimekatazwa kuwaabudu wale mnaowaomba badala ya Mwenyezi Mungu baada ya kunijia mimi alama zilizo wazi kutoka kwa Mola wangu na kuniamrisha mimi nimnyenyekee Yeye na nimfuate kwa utiifu mkamilifu Kwake, kutakasika na sifa za upungufu ni Kwake, Mola wa viumbe wote,»