Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Ghafir Ayah 44

40:44
فستذكرون ما اقول لكم وافوض امري الى الله ان الله بصير بالعباد ٤٤
فَسَتَذْكُرُونَ مَآ أَقُولُ لَكُمْ ۚ وَأُفَوِّضُ أَمْرِىٓ إِلَى ٱللَّهِ ۚ إِنَّ ٱللَّهَ بَصِيرٌۢ بِٱلْعِبَادِ ٤٤
فَسَتَذۡكُرُونَﱳ
مَآﱴ
أَقُولُﱵ
لَكُمۡۚﱶﱷ
وَأُفَوِّضُﱸ
أَمۡرِيٓﱹ
إِلَىﱺ
ٱللَّهِۚﱻﱼ
إِنَّﱽ
ٱللَّهَﱾ
بَصِيرُۢﱿ
بِٱلۡعِبَادِﲀ
٤٤ﲁ
You will remember what I say to you, and I entrust my affairs to Allah. Surely Allah is All-Seeing of all ˹His˺ servants.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Alipowasihi na wasimkubalie aliwaambia, «Basi mtakumbuka kuwa mimi niliwasihi na nikawakumbusha, na mtajuta wakati ambao majuto hayatanufaisha. Na mimi ninahamia kwa Mola wangu nataka hifadhi Yake na ninamtegemea Yeye, hakika Mwenyezi Mungu, Aliyetakasika na kutukuka, ni Mtambuzi wa hali za waja na malipo wanayostahiki malipo, hakuna kinachofichamana Kwake chochote katika hayo.»