Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Ghafir Ayah 42

40:42
تدعونني لاكفر بالله واشرك به ما ليس لي به علم وانا ادعوكم الى العزيز الغفار ٤٢
تَدْعُونَنِى لِأَكْفُرَ بِٱللَّهِ وَأُشْرِكَ بِهِۦ مَا لَيْسَ لِى بِهِۦ عِلْمٌۭ وَأَنَا۠ أَدْعُوكُمْ إِلَى ٱلْعَزِيزِ ٱلْغَفَّـٰرِ ٤٢
تَدۡعُونَنِيﱌ
لِأَكۡفُرَﱍ
بِٱللَّهِﱎ
وَأُشۡرِكَﱏ
بِهِۦﱐ
مَاﱑ
لَيۡسَﱒ
لِيﱓ
بِهِۦﱔ
عِلۡمٞﱕ
وَأَنَا۠ﱖ
أَدۡعُوكُمۡﱗ
إِلَىﱘ
ٱلۡعَزِيزِﱙ
ٱلۡغَفَّٰرِﱚ
٤٢ﱛ
You invite me to disbelieve in Allah and associate with Him what I have no knowledge of, while I invite you to the Almighty, Most Forgiving.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
«Mnanilingania mimi nimkanushe Mwenyezi Mungu na nimshirikishe Yeye na kitu amabacho sina ujuzi nacho kuwa kinastahiki kuabudiwa badala Yake- na hili ni miongoni madhambi makubwa zaidi na maovu zaidi- Na mimi ninawalingania kwenye njia yenye kupelekea kwa Mwenyezi Mungu Aliye Mshindi katika kutesa Kwake, Mwingi wa msamaha kwa aliyerudia Kwake kwa kutubia baada ya kumuasi.