Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Ghafir Ayah 13

40:13
هو الذي يريكم اياته وينزل لكم من السماء رزقا وما يتذكر الا من ينيب ١٣
هُوَ ٱلَّذِى يُرِيكُمْ ءَايَـٰتِهِۦ وَيُنَزِّلُ لَكُم مِّنَ ٱلسَّمَآءِ رِزْقًۭا ۚ وَمَا يَتَذَكَّرُ إِلَّا مَن يُنِيبُ ١٣
هُوَﲑ
ٱلَّذِيﲒ
يُرِيكُمۡﲓ
ءَايَٰتِهِۦﲔ
وَيُنَزِّلُﲕ
لَكُمﲖ
مِّنَﲗ
ٱلسَّمَآءِﲘ
رِزۡقٗاۚﲙﲚ
وَمَاﲛ
يَتَذَكَّرُﲜ
إِلَّاﲝ
مَنﲞ
يُنِيبُﲟ
١٣ﲠ
He is the One Who shows you His signs and sends down ˹rain as˺ a provision for you from the sky. ˹But˺ none will be mindful except those who turn ˹to Him˺.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Yeye Ndiye Anayewaonyesha, enyi watu, uweza Wake kwa zile alama kubwa zenye kutolea ushahidi ukamilifu wa Mwenye kuziumba na kuzianzisha, na Anawateremshia mvua kutoka mawinguni ambayo kwayo mnaruzukiwa. Na hajikumbushi kwa alama hizi isipokuwa yule anayerudi kwenye utiifu wa Mwenyezi Mungu na kumtakasia ibada.