Iniciar sesión
Iniciar sesión
Iniciar sesión
Seleccionar idioma

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Sád Ayah 33

38:33
ردوها علي فطفق مسحا بالسوق والاعناق ٣٣
رُدُّوهَا عَلَىَّ ۖ فَطَفِقَ مَسْحًۢا بِٱلسُّوقِ وَٱلْأَعْنَاقِ ٣٣
رُدُّوهَاﲈ
عَلَيَّۖﲉﲊ
فَطَفِقَﲋ
مَسۡحَۢاﲌ
بِٱلسُّوقِﲍ
وَٱلۡأَعۡنَاقِﲎ
٣٣ﲏ
[Dijo Salomón:] “Traédmelos”. Y acarició sus cuellos y sus patas.1
Tafsires
Capas
Lecciones
Reflexiones.
Respuestas
Qiraat
Hadith
Warudisheni hao farasi walioorodheshwa hivi punde.» Wakarudishwa, na akaingia kuipiga miguu yao na shingo zao kwa upanga kwa kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu, kwa kuwa wao walikuwa ni sababu ya Swala yake kumpita, Na ilikuwa kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu kwa kuchinja farasi yakubaliwa katika Sheria yake.