Dicen los que se negaron a creer [burlándose]: “¿Quieren que les mostremos un hombre [Mujámmad] que anuncia que luego de haber sido desintegrados completamente [en las tumbas] serán resucitados,
Tafsires
Capas
Lecciones
Reflexiones.
Respuestas
Qiraat
Hadith
Na makafiri wanasema, wakiambiana wao kwa wao kwa njia ya shere, «Je, tuwaoneshe mtu ( wakimkusudia Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie) atakayewaambia kwamba nyinyi mkifa na miili yenu ikawa mbalimbali kabisa kuwa nyinyi mtahuishwa na mtafufuliwa kutoka makaburini mwenu» wanasema hayo kwa kupita kiasi katika kukanusha kwao.