Iniciar sesión
Iniciar sesión
Iniciar sesión
Seleccionar idioma

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Sábá' Ayah 54

34:54
وحيل بينهم وبين ما يشتهون كما فعل باشياعهم من قبل انهم كانوا في شك مريب ٥٤
وَحِيلَ بَيْنَهُمْ وَبَيْنَ مَا يَشْتَهُونَ كَمَا فُعِلَ بِأَشْيَاعِهِم مِّن قَبْلُ ۚ إِنَّهُمْ كَانُوا۟ فِى شَكٍّۢ مُّرِيبٍۭ ٥٤
وَحِيلَﱾ
بَيۡنَهُمۡﱿ
وَبَيۡنَﲀ
مَاﲁ
يَشۡتَهُونَﲂ
كَمَاﲃ
فُعِلَﲄ
بِأَشۡيَاعِهِمﲅ
مِّنﲆ
قَبۡلُۚﲇﲈ
إِنَّهُمۡﲉ
كَانُواْﲊ
فِيﲋ
شَكّٖﲌ
مُّرِيبِۭﲍ
٥٤ﲎ
Pero entre ellos y lo que desean1 se interpondrá una barrera, como ocurrió con los incrédulos que estuvieron antes de ellos, porque estaban indecisos [sobre el Mensaje].
Tafsires
Capas
Lecciones
Reflexiones.
Respuestas
Qiraat
Hadith
Na kutawekwa kizuizi baina ya wakanushaji na kile wanachokitamani cha toba na kurudi ulimwenguni wapate kuamini, kama vile Mwenyezi Mungu Alivyowafanya wale wanaofanana na wao miongoni mwa wakanushaji wa watu wa mataifa yaliyopita. Kwa kweli wao walikuwa duniani wako kwenye shaka yenye kutia wasiwasi na babaiko kuhusu jambo la Mitume, kufufuliwa na kuhesabiwa, na kwa hivyo hawakuamini.