Iniciar sesión
Iniciar sesión
Iniciar sesión
Seleccionar idioma

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Sábá' Ayah 18

34:18
وجعلنا بينهم وبين القرى التي باركنا فيها قرى ظاهرة وقدرنا فيها السير سيروا فيها ليالي واياما امنين ١٨
وَجَعَلْنَا بَيْنَهُمْ وَبَيْنَ ٱلْقُرَى ٱلَّتِى بَـٰرَكْنَا فِيهَا قُرًۭى ظَـٰهِرَةًۭ وَقَدَّرْنَا فِيهَا ٱلسَّيْرَ ۖ سِيرُوا۟ فِيهَا لَيَالِىَ وَأَيَّامًا ءَامِنِينَ ١٨
وَجَعَلۡنَاﱴ
بَيۡنَهُمۡﱵ
وَبَيۡنَﱶ
ٱلۡقُرَىﱷ
ٱلَّتِيﱸ
بَٰرَكۡنَاﱹ
فِيهَاﱺ
قُرٗىﱻ
ظَٰهِرَةٗﱼ
وَقَدَّرۡنَاﱽ
فِيهَاﱾ
ٱلسَّيۡرَۖﱿﲀ
سِيرُواْﲁ
فِيهَاﲂ
لَيَالِيَﲃ
وَأَيَّامًاﲄ
ءَامِنِينَﲅ
١٨ﲆ
Puse entre ellos y las ciudades que había bendecido otras aldeas, e hice que transitaran tranquilos por ellas. [Les dije:] “¡Viajen por ellas seguros de noche y de día!”
Tafsires
Capas
Lecciones
Reflexiones.
Respuestas
Qiraat
Hadith
Na tulijaalia, baina ya watu wa Saba’ na hali wao wako Yaman, na ile miji tuliobarikia, nayo ni Shām, kuwe na miji iliyoshikana, aliye kwenye mji wowote kati ya hiyo huuona mji mwingine. Na tukafanya mwendo wa kutembea humo ni mwendo uliokadiriwa, kutoka nyumba hadi nyumba, bila mashaka, na tukawaambia, «Endeni kwenye miji hiyo , wakati mnapotaka wa usiku au mchana, mkiwa mko kwenye amani hamuogopi adui, njaa wala kiu.