Iniciar sesión
Iniciar sesión
Iniciar sesión
Seleccionar idioma

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Ibrahím Ayah 42

14:42
ولا تحسبن الله غافلا عما يعمل الظالمون انما يوخرهم ليوم تشخص فيه الابصار ٤٢
وَلَا تَحْسَبَنَّ ٱللَّهَ غَـٰفِلًا عَمَّا يَعْمَلُ ٱلظَّـٰلِمُونَ ۚ إِنَّمَا يُؤَخِّرُهُمْ لِيَوْمٍۢ تَشْخَصُ فِيهِ ٱلْأَبْصَـٰرُ ٤٢
وَلَاﳅ
تَحۡسَبَنَّﳆ
ٱللَّهَﳇ
غَٰفِلًاﳈ
عَمَّاﳉ
يَعۡمَلُﳊ
ٱلظَّٰلِمُونَۚﳋﳌ
إِنَّمَاﳍ
يُؤَخِّرُهُمۡﳎ
لِيَوۡمٖﳏ
تَشۡخَصُﳐ
فِيهِﳑ
ٱلۡأَبۡصَٰرُﳒ
٤٢ﳓ
No pienses [¡Oh, Mujámmad!] que Dios está distraído de lo que hacen los opresores1. Él solo está tolerándolos hasta que llegue el día en el que sus miradas quedarán paralizadas2.
Tafsires
Capas
Lecciones
Reflexiones.
Respuestas
Qiraat
Hadith
Na usidhani, ewe Mtume, kwamba Mwenezi Mungu ni mwenye kughafilika na yale wanayoyafanya madhalimu, ya kukukanusha wewe na Mitume wengine na kuwakera Waumini na maasia mengineyo. Kwa kweli, Anachelewsha kuwatesa mpaka Siku ngumu ambayo macho yao yatakodoka na hayatafumbika kwa kitisho cha yale yanayoyaona. Katika hii pana kumliwaza Mtume Muhammad, rehema na amani zimshukiye.