Iniciar sesión
Iniciar sesión
Iniciar sesión
Seleccionar idioma

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Ibrahím Ayah 39

14:39
الحمد لله الذي وهب لي على الكبر اسماعيل واسحاق ان ربي لسميع الدعاء ٣٩
ٱلْحَمْدُ لِلَّهِ ٱلَّذِى وَهَبَ لِى عَلَى ٱلْكِبَرِ إِسْمَـٰعِيلَ وَإِسْحَـٰقَ ۚ إِنَّ رَبِّى لَسَمِيعُ ٱلدُّعَآءِ ٣٩
ٱلۡحَمۡدُﲢ
لِلَّهِﲣ
ٱلَّذِيﲤ
وَهَبَﲥ
لِيﲦ
عَلَىﲧ
ٱلۡكِبَرِﲨ
إِسۡمَٰعِيلَﲩ
وَإِسۡحَٰقَۚﲪﲫ
إِنَّﲬ
رَبِّيﲭ
لَسَمِيعُﲮ
ٱلدُّعَآءِﲯ
٣٩ﲰ
¡Alabado sea Dios!, Quien me agració en la vejez con [mis hijos] Ismael e Isaac. Mi Señor escucha bien las súplicas de quienes Lo invocan.
Tafsires
Capas
Lecciones
Reflexiones.
Respuestas
Qiraat
Hadith
Ibrāhīm anamsifu Mola wake na anasema, «Shukrani zote ni za Mwenyezi Mungu Aliyeniruzuku, pamoja na uzee wangu, wanangu wawili, Ismā'īl na Isḥāq, baada ya maombi yangu Anitunuku miongoni mwa wema, kwani Mola wangu ni mwenye kusikia maombi ya mwenye kumuomba; na mimemuomba na Hakuyapitisha patupu matarajio yangu.