Iniciar sesión
Iniciar sesión
Iniciar sesión
Seleccionar idioma

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Ibrahím Ayah 27

14:27
يثبت الله الذين امنوا بالقول الثابت في الحياة الدنيا وفي الاخرة ويضل الله الظالمين ويفعل الله ما يشاء ٢٧
يُثَبِّتُ ٱللَّهُ ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ بِٱلْقَوْلِ ٱلثَّابِتِ فِى ٱلْحَيَوٰةِ ٱلدُّنْيَا وَفِى ٱلْـَٔاخِرَةِ ۖ وَيُضِلُّ ٱللَّهُ ٱلظَّـٰلِمِينَ ۚ وَيَفْعَلُ ٱللَّهُ مَا يَشَآءُ ٢٧
يُثَبِّتُﱝ
ٱللَّهُﱞ
ٱلَّذِينَﱟ
ءَامَنُواْﱠ
بِٱلۡقَوۡلِﱡ
ٱلثَّابِتِﱢ
فِيﱣ
ٱلۡحَيَوٰةِﱤ
ٱلدُّنۡيَاﱥ
وَفِيﱦ
ٱلۡأٓخِرَةِۖﱧﱨ
وَيُضِلُّﱩ
ٱللَّهُﱪ
ٱلظَّٰلِمِينَۚﱫﱬ
وَيَفۡعَلُﱭ
ٱللَّهُﱮ
مَاﱯ
يَشَآءُﱰ
٢٧ﱱ
Dios afianza a los creyentes con la palabra firme en esta vida y en la otra1, y extravía a los que cometen injusticias. Dios hace lo que quiere.
Tafsires
Capas
Lecciones
Reflexiones.
Respuestas
Qiraat
Hadith
Mwenyezi Mungu Anawathibitisha wale waloamini kwenye neno la ukweli lenye uimara nalo ni kukubali kwamba hakuna mola anayepasa kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu na kwamba Muhaamad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, kwamba Atawathibitisha kwenye dini ya kweli aliyokuja nayo katika huu ulimwengu, Atawapa mwisho mwema wakati wa kufa, na Atawaongoza watoe jawabu ya sawa watakapoulizwa na Malaika wawili kaburini. Na Mwenyezi Mungu Atawapoteza madhalimu wasiuone usawa ulimenguni na Akhera. Na Mwenyezi Mungu Anafanya Analolitaka kwa kuwaafikia wenye kuamini na kutowaongoza wenye kukufuru na kuasi.