Pero de nada les sirvió creer cuando vieron Mi castigo. Así es el designio de Dios1, que alcanzó a quienes los precedieron. Los que se negaron a creer habrán perdido toda posibilidad [de salvación].
Tafsires
Capas
Lecciones
Reflexiones.
Respuestas
Qiraat
Hadith
Imani yao hiyo haikuwa ni yenye kuwanufaisha walipoiona adhabu yetu, kwa kuwa ni imani ambayo hawakuwa na budi nayo, na si Imani ya hiyari na kutaka. Huo ndio mpango na njia Aliyoiweka kwa ummah wote, kwamba Imani isiwanufaishe wanapoiona adhabu. Na itakapokuja adhabu ya Mwenyezi Mungu, wataangamia wenye kumkanusha Mola wao, wenye kukataa kumpwekesha na kumtii.