Iniciar sesión
Iniciar sesión
Iniciar sesión
Seleccionar idioma

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Fátir Ayah 2

35:2
ما يفتح الله للناس من رحمة فلا ممسك لها وما يمسك فلا مرسل له من بعده وهو العزيز الحكيم ٢
مَّا يَفْتَحِ ٱللَّهُ لِلنَّاسِ مِن رَّحْمَةٍۢ فَلَا مُمْسِكَ لَهَا ۖ وَمَا يُمْسِكْ فَلَا مُرْسِلَ لَهُۥ مِنۢ بَعْدِهِۦ ۚ وَهُوَ ٱلْعَزِيزُ ٱلْحَكِيمُ ٢
مَّاﲪ
يَفۡتَحِﲫ
ٱللَّهُﲬ
لِلنَّاسِﲭ
مِنﲮ
رَّحۡمَةٖﲯ
فَلَاﲰ
مُمۡسِكَﲱ
لَهَاۖﲲﲳ
وَمَاﲴ
يُمۡسِكۡﲵ
فَلَاﲶ
مُرۡسِلَﲷ
لَهُۥﲸ
مِنۢﲹ
بَعۡدِهِۦۚﲺﲻ
وَهُوَﲼ
ٱلۡعَزِيزُﲽ
ٱلۡحَكِيمُﲾ
٢ﲿ
Nada ni nadie puede impedir que una misericordia de Dios alcance a la gente; pero si Él la retuviese, no hay nada ni nadie que pudiera hacer que les llegara. Él es el Poderoso, el Sabio.
Tafsires
Capas
Lecciones
Reflexiones.
Respuestas
Qiraat
Hadith
Chochote kile Anachowafungulia watu Mwenyezi Mungu miongoni mwa riziki, mvua, afya, ujuzi na neema nyinginezo, hakuna yoyote wa kuzuia rehema hii, na chochote kile anachokizuia hakuna yoyote baada Yake, Kutakasika na sifa za upungufu ni Kwake na kutukuka ni Kwake, anayeweza kukiachilia. Na Yeye Ndie Mshindi Mwenye kukitendesha nguvu kila kitu, Mwingi wa hekima Ambaye Anaiachilia rehema na Anaizuia kulingana na hekima Yake.