Dios los hizo sufrir la humillación en la vida mundanal, y el castigo de la otra vida será mayor; si lo supieran.
Tafsires
Capas
Lecciones
Reflexiones.
Respuestas
Qiraat
Hadith
Basi Mwenyezi Mungu Akawaonjesha ummah waliokanusha adhabu na unyonge duniani, na Akawaandalia adhabu kali zaidi na ngumu zaidi huko Akhera. Lau hawa washirikina wangalijua, kuwa kile kilichowashukia ni kwa sababu ya ukafiri wao na ukanushaji wao, wangaliwaidhika.