Iniciar sesión
Iniciar sesión
Iniciar sesión
Seleccionar idioma

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Az-Zúmar Ayah 16

39:16
لهم من فوقهم ظلل من النار ومن تحتهم ظلل ذالك يخوف الله به عباده يا عباد فاتقون ١٦
لَهُم مِّن فَوْقِهِمْ ظُلَلٌۭ مِّنَ ٱلنَّارِ وَمِن تَحْتِهِمْ ظُلَلٌۭ ۚ ذَٰلِكَ يُخَوِّفُ ٱللَّهُ بِهِۦ عِبَادَهُۥ ۚ يَـٰعِبَادِ فَٱتَّقُونِ ١٦
لَهُمﱸ
مِّنﱹ
فَوۡقِهِمۡﱺ
ظُلَلٞﱻ
مِّنَﱼ
ٱلنَّارِﱽ
وَمِنﱾ
تَحۡتِهِمۡﱿ
ظُلَلٞۚﲀﲁ
ذَٰلِكَﲂ
يُخَوِّفُﲃ
ٱللَّهُﲄ
بِهِۦﲅ
عِبَادَهُۥۚﲆﲇ
يَٰعِبَادِﲈ
فَٱتَّقُونِﲉ
١٦ﲊ
Serán cubiertos por encima y por debajo por nubes de fuego. Así atemoriza Dios a Sus siervos. ¡Oh, siervos Míos! Tengan temor de Mí [y crean].
Tafsires
Capas
Lecciones
Reflexiones.
Respuestas
Qiraat
Hadith
Hao wenye kupata hasara watawekewa juu yau Siku ya Kiyama, wakiwa ndani ya Jahanamu, vipande vya adhabu juu yao vinavyotokana na Moto, kama kwamba ni sakafu zilizojengewa na pia chini yao. Adhabu hiyo yenye sifa hizo ndio ile ambayo Mweyezi Mungu anawaogopesha nayo waja Wake ili wajihadhari nayo. Hivyo basi, enyi waja wangu, nicheni kwa kuzifuata amri zangu na kujiepusha na matendo ya kuniasi.