Iniciar sesión
Iniciar sesión
Iniciar sesión
Seleccionar idioma

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Ar-Rúm Ayah 4

30:4
في بضع سنين لله الامر من قبل ومن بعد ويوميذ يفرح المومنون ٤
فِى بِضْعِ سِنِينَ ۗ لِلَّهِ ٱلْأَمْرُ مِن قَبْلُ وَمِنۢ بَعْدُ ۚ وَيَوْمَئِذٍۢ يَفْرَحُ ٱلْمُؤْمِنُونَ ٤
فِيﲩ
بِضۡعِﲪ
سِنِينَۗﲫﲬ
لِلَّهِﲭ
ٱلۡأَمۡرُﲮ
مِنﲯ
قَبۡلُﲰ
وَمِنۢﲱ
بَعۡدُۚﲲﲳ
وَيَوۡمَئِذٖﲴ
يَفۡرَحُﲵ
ٱلۡمُؤۡمِنُونَﲶ
٤ﲷ
dentro de tres a nueve años1. Todo ocurre por voluntad de Dios, tanto la anterior derrota [de los bizantinos] como su victoria futura. Ese día los creyentes se alegrarán
Tafsires
Capas
Lecciones
Reflexiones.
Respuestas
Qiraat
Hadith
katika kipindi kisichopita miaka kumi na kisichopungua miaka mitatu. Ni ya Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka na kuwa juu, amri yote kabla ya ushindi wa Warumi na baada yake. Na siku hiyo ambayo Warumi watapata ushindi juu ya Wafursi Waumini wataifurahia nusura ya Mwenyezi Mungu kwa Warumi juu ya Wafursi.