Iniciar sesión
Iniciar sesión
Iniciar sesión
Seleccionar idioma

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Ar-Rúm Ayah 32

30:32
من الذين فرقوا دينهم وكانوا شيعا كل حزب بما لديهم فرحون ٣٢
مِنَ ٱلَّذِينَ فَرَّقُوا۟ دِينَهُمْ وَكَانُوا۟ شِيَعًۭا ۖ كُلُّ حِزْبٍۭ بِمَا لَدَيْهِمْ فَرِحُونَ ٣٢
مِنَﳈ
ٱلَّذِينَﳉ
فَرَّقُواْﳊ
دِينَهُمۡﳋ
وَكَانُواْﳌ
شِيَعٗاۖﳍﳎ
كُلُّﳏ
حِزۡبِۭﳐ
بِمَاﳑ
لَدَيۡهِمۡﳒ
فَرِحُونَﳓ
٣٢ﳔ
no sean de esos que dividieron su religión y formaron sectas, cada facción se contenta con lo que sigue.
Tafsires
Capas
Lecciones
Reflexiones.
Respuestas
Qiraat
Hadith
Na msiwe ni miongoni mwa washirikina na watu wa (kufuata) matamanio na mambo ya uzushi, walioibadilisha dini yao na wakaigeuza kwa kuchukuwa baadhi yake na kuacha baadhi yake kwa kufuata matamanio yao, wakawa ni makundi na mapote, wanafuata mikao ya viongozi wao na vyama vyao na maoni yao, wanasaidiana wao kwa wao katika batili, kila watu wa kundi wanashangilia na kufurahia mkao wao, wanajihukumia wenyewe kuwa wao wako kwenye haki na wasiokuwa wao wako kwenye ubatilifu.