Iniciar sesión
Iniciar sesión
Iniciar sesión
Seleccionar idioma

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Yá-Sín Ayah 21

36:21
اتبعوا من لا يسالكم اجرا وهم مهتدون ٢١
ٱتَّبِعُوا۟ مَن لَّا يَسْـَٔلُكُمْ أَجْرًۭا وَهُم مُّهْتَدُونَ ٢١
ٱتَّبِعُواْﲗ
مَنﲘ
لَّاﲙ
يَسۡـَٔلُكُمۡﲚ
أَجۡرٗاﲛ
وَهُمﲜ
مُّهۡتَدُونَﲝ
٢١ﲞ
Sigan a quienes no les piden retribución alguna [por transmitirles el conocimiento], y están bien guiados.
Tafsires
Capas
Lecciones
Reflexiones.
Respuestas
Qiraat
Hadith
Wafuateni wale wasiotaka mali kutoka kwenu kwa kufikisha Ujumbe na hali wao wako kwenye uongofu katika kile wanachowaitia cha kumuabudu Mwenyezi Mungu Peke Yake.» Katika hii kuna kueleza ubora wa mwenye kukimbilia kuamrisha mema na kukataza maovu.