Iniciar sesión
Iniciar sesión
Iniciar sesión
Seleccionar idioma

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Húd Ayah 2

11:2
الا تعبدوا الا الله انني لكم منه نذير وبشير ٢
أَلَّا تَعْبُدُوٓا۟ إِلَّا ٱللَّهَ ۚ إِنَّنِى لَكُم مِّنْهُ نَذِيرٌۭ وَبَشِيرٌۭ ٢
أَلَّاﲐ
تَعۡبُدُوٓاْﲑ
إِلَّاﲒ
ٱللَّهَۚﲓﲔ
إِنَّنِيﲕ
لَكُمﲖ
مِّنۡهُﲗ
نَذِيرٞﲘ
وَبَشِيرٞﲙ
٢ﲚ
[Diles, ¡Oh, Mujámmad!:] “No adoren sino a Dios, yo he sido enviado a ustedes por Él como amonestador1 y albriciador2.
Tafsires
Capas
Lecciones
Reflexiones.
Respuestas
Qiraat
Hadith
Na kuteremsha Qur’ani na kuzifafanua hukumu zake na kuzipambanua na kuipanga vizuri, ili mpate kumuabudu Mwenyezi Mungu, Peke Yake, Asiye na mshirika. Mimi kwenu nyinyi, enyi watu, ni muonyaji kutoka kwa Mwenyezi Mungu mwenye kuwaonya mateso Yake na ni mwenye kuwabashiria habari njema ya malipo Yake mema.