Se les dirá: “Entren por las puertas del Infierno, y morarán allí por toda la eternidad”. ¡Qué pésima morada tendrán los soberbios!
Tafsires
Capas
Lecciones
Reflexiones.
Respuestas
Qiraat
Hadith
Na wataambiwa wale wenye kukataa kuwa Mwenyezi Mungu Ndiye Mola wa haki, kwa kuwatweza na kuwadhalilisha, «Ingieni kwenye milango ya Jahanamu, hali ya kukaa humo milele.» Ni mbaya mno mwisho wa wale wanaolifanyia kiburi jambo la kumuamini Mwenyezi Mungu na kufuata kivitendo sheria Yake.