Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Az-Zumar Ayah 52

39:52
اولم يعلموا ان الله يبسط الرزق لمن يشاء ويقدر ان في ذالك لايات لقوم يومنون ٥٢
أَوَلَمْ يَعْلَمُوٓا۟ أَنَّ ٱللَّهَ يَبْسُطُ ٱلرِّزْقَ لِمَن يَشَآءُ وَيَقْدِرُ ۚ إِنَّ فِى ذَٰلِكَ لَـَٔايَـٰتٍۢ لِّقَوْمٍۢ يُؤْمِنُونَ ٥٢
أَوَلَمۡﲂ
يَعۡلَمُوٓاْﲃ
أَنَّﲄ
ٱللَّهَﲅ
يَبۡسُطُﲆ
ٱلرِّزۡقَﲇ
لِمَنﲈ
يَشَآءُﲉ
وَيَقۡدِرُۚﲊﲋ
إِنَّﲌ
فِيﲍ
ذَٰلِكَﲎ
لَأٓيَٰتٖﲏ
لِّقَوۡمٖﲐ
يُؤۡمِنُونَﲑ
٥٢ﲒ
Do they not know that Allah gives abundant or limited provisions to whoever He wills? Surely in this are signs for people who believe.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Kwani hao hawajui kwamba riziki ya Mwenyezi Mungu kwa binadamu haimaanishi kuwa aliyeruzukiwa ana hali njema na kwamba Mwenyezi Mungu Ana hekima nyingi, Anamkunjulia riziki Anayemtaka katika waja Wake, awe mwema au muovu, na Anambania Anayemtaka katika wao? Hakika katika kukunjua na kubana riziki kuna dalili zilizo wazi kwa watu wanaoamini amri ya Mwenyezi Mungu na kuifanyia kazi.