Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: At-Tur Ayah 48

52:48
واصبر لحكم ربك فانك باعيننا وسبح بحمد ربك حين تقوم ٤٨
وَٱصْبِرْ لِحُكْمِ رَبِّكَ فَإِنَّكَ بِأَعْيُنِنَا ۖ وَسَبِّحْ بِحَمْدِ رَبِّكَ حِينَ تَقُومُ ٤٨
وَٱصۡبِرۡﳎ
لِحُكۡمِﳏ
رَبِّكَﳐ
فَإِنَّكَﳑ
بِأَعۡيُنِنَاۖﳒﳓ
وَسَبِّحۡﳔ
بِحَمۡدِﳕ
رَبِّكَﳖ
حِينَﳗ
تَقُومُﳘ
٤٨ﳙ
So be patient with your Lord’s decree, for you are truly under Our ˹watchful˺ Eyes. And glorify the praises of your Lord when you rise.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na uivumilie, ewe Mtume, hukumu ya Mola wako na amri Yake juu ujumbe Aliyokubebesha na juu ya makero yanayokupata kutoka kwa watu wako, hakika wewe uko kwenye maangalizi yetu, hifadhi na utunzi. Na umtakase Mola Wako kwa kumsifu unaposimama kuswali na unapoinuka kutoka usingizini.