تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis التفسير: يس آية 8

٨:٣٦
انا جعلنا في اعناقهم اغلالا فهي الى الاذقان فهم مقمحون ٨
إِنَّا جَعَلْنَا فِىٓ أَعْنَـٰقِهِمْ أَغْلَـٰلًۭا فَهِىَ إِلَى ٱلْأَذْقَانِ فَهُم مُّقْمَحُونَ ٨
إِنَّاﱾ
جَعَلۡنَاﱿ
فِيٓﲀ
أَعۡنَٰقِهِمۡﲁ
أَغۡلَٰلٗاﲂ
فَهِيَﲃ
إِلَىﲄ
ٱلۡأَذۡقَانِﲅ
فَهُمﲆ
مُّقۡمَحُونَﲇ
٨ﲈ
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Hakika sisi tumewafanya hawa makafiri, ambao walionyeshwa haki wakaikataa na wakawa wakakamavu kushikilia ukafiri na kuacha kuamini, ni kama wale waliofungwa pingu shingoni mwao, ikakusanywa pamoja mikono yao pamoja na shingo zao chini ya videvu vyao, wakalazimika kuinua juu vichwa vyao. Basi wao wamefungwa na kuepushwa na kila kheri, hawaioni haki wala hawaongoki kuifuata.