تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis التفسير: يس آية 21

٢١:٣٦
اتبعوا من لا يسالكم اجرا وهم مهتدون ٢١
ٱتَّبِعُوا۟ مَن لَّا يَسْـَٔلُكُمْ أَجْرًۭا وَهُم مُّهْتَدُونَ ٢١
ٱتَّبِعُواْﲗ
مَنﲘ
لَّاﲙ
يَسۡـَٔلُكُمۡﲚ
أَجۡرٗاﲛ
وَهُمﲜ
مُّهۡتَدُونَﲝ
٢١ﲞ
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Wafuateni wale wasiotaka mali kutoka kwenu kwa kufikisha Ujumbe na hali wao wako kwenye uongofu katika kile wanachowaitia cha kumuabudu Mwenyezi Mungu Peke Yake.» Katika hii kuna kueleza ubora wa mwenye kukimbilia kuamrisha mema na kukataza maovu.