تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis التفسير: يس آية 19

١٩:٣٦
قالوا طايركم معكم اين ذكرتم بل انتم قوم مسرفون ١٩
قَالُوا۟ طَـٰٓئِرُكُم مَّعَكُمْ ۚ أَئِن ذُكِّرْتُم ۚ بَلْ أَنتُمْ قَوْمٌۭ مُّسْرِفُونَ ١٩
قَالُواْﲁ
طَٰٓئِرُكُمﲂ
مَّعَكُمۡﲃ
أَئِنﲄ
ذُكِّرۡتُمۚﲅﲆ
بَلۡﲇ
أَنتُمۡﲈ
قَوۡمٞﲉ
مُّسۡرِفُونَﲊ
١٩ﲋ
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Wajumbe wakasema, «Kisirani chenu na matendo yenu ya ushirikina na ya shari yako na nyinyi na yanarudishwa kwenu nyinyi. Je, nyinyi mkiwaidhiwa kwa jambo ambalo lina kheri kwenu mnajihisi mmeingiliwa na kisrani na mnatutisha kuwa mtatupiga mawe na kutuadhibu? Bali nyinyi ni watu ambao desturi yenu ni kupita kiasi katika uasi na ukanushaji.