تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis التفسير: ص آية 72

٧٢:٣٨
فاذا سويته ونفخت فيه من روحي فقعوا له ساجدين ٧٢
فَإِذَا سَوَّيْتُهُۥ وَنَفَخْتُ فِيهِ مِن رُّوحِى فَقَعُوا۟ لَهُۥ سَـٰجِدِينَ ٧٢
فَإِذَاﲕ
سَوَّيۡتُهُۥﲖ
وَنَفَخۡتُﲗ
فِيهِﲘ
مِنﲙ
رُّوحِيﲚ
فَقَعُواْﲛ
لَهُۥﲜ
سَٰجِدِينَﲝ
٧٢ﲞ
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Basi nitakapousawazisha mwili wake na umbo lake na nikapuliza roho ndani yake na uhai ukatambaa humo, msujudieni» sijida ya heshima na kukirimu, na siyo sijida ya ibada na kutukuza. Kwani ibada haiwi isipokuwa kwa Mwenyezi Mungu, Peke Yake. Na Mwenyezi Mungu Ameharamisha, katika Sheria ya Kiislamu, kusujudu kwa njia ya maamkizi.