تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis التفسير: سبإ آية 6

٦:٣٤
ويرى الذين اوتوا العلم الذي انزل اليك من ربك هو الحق ويهدي الى صراط العزيز الحميد ٦
وَيَرَى ٱلَّذِينَ أُوتُوا۟ ٱلْعِلْمَ ٱلَّذِىٓ أُنزِلَ إِلَيْكَ مِن رَّبِّكَ هُوَ ٱلْحَقَّ وَيَهْدِىٓ إِلَىٰ صِرَٰطِ ٱلْعَزِيزِ ٱلْحَمِيدِ ٦
وَيَرَىﲣ
ٱلَّذِينَﲤ
أُوتُواْﲥ
ٱلۡعِلۡمَﲦ
ٱلَّذِيٓﲧ
أُنزِلَﲨ
إِلَيۡكَﲩ
مِنﲪ
رَّبِّكَﲫ
هُوَﲬ
ٱلۡحَقَّﲭ
وَيَهۡدِيٓﲮ
إِلَىٰﲯ
صِرَٰطِﲰ
ٱلۡعَزِيزِﲱ
ٱلۡحَمِيدِﲲ
٦ﲳ
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Na wale waliopatiwa elimu wanajua kwamba Qur’ani uliyoteremshiwa kutoka kwa Mola wako ndiyo haki na kwamba inaongoza kwenye njia ya Mwenyezi Mungu, Aliye Mshindi Asiyeshindwa wala kuzuiliwa, bali Amekitendesha nguvu kila kitu na Amekishinda, Ndiye Mwenye kusifiwa katika maneno Yake, matendo Yake na Sheria Zake.