تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis التفسير: سبإ آية 54

٥٤:٣٤
وحيل بينهم وبين ما يشتهون كما فعل باشياعهم من قبل انهم كانوا في شك مريب ٥٤
وَحِيلَ بَيْنَهُمْ وَبَيْنَ مَا يَشْتَهُونَ كَمَا فُعِلَ بِأَشْيَاعِهِم مِّن قَبْلُ ۚ إِنَّهُمْ كَانُوا۟ فِى شَكٍّۢ مُّرِيبٍۭ ٥٤
وَحِيلَﱾ
بَيۡنَهُمۡﱿ
وَبَيۡنَﲀ
مَاﲁ
يَشۡتَهُونَﲂ
كَمَاﲃ
فُعِلَﲄ
بِأَشۡيَاعِهِمﲅ
مِّنﲆ
قَبۡلُۚﲇﲈ
إِنَّهُمۡﲉ
كَانُواْﲊ
فِيﲋ
شَكّٖﲌ
مُّرِيبِۭﲍ
٥٤ﲎ
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Na kutawekwa kizuizi baina ya wakanushaji na kile wanachokitamani cha toba na kurudi ulimwenguni wapate kuamini, kama vile Mwenyezi Mungu Alivyowafanya wale wanaofanana na wao miongoni mwa wakanushaji wa watu wa mataifa yaliyopita. Kwa kweli wao walikuwa duniani wako kwenye shaka yenye kutia wasiwasi na babaiko kuhusu jambo la Mitume, kufufuliwa na kuhesabiwa, na kwa hivyo hawakuamini.