تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis التفسير: ق آية 45

٤٥:٥٠
نحن اعلم بما يقولون وما انت عليهم بجبار فذكر بالقران من يخاف وعيد ٤٥
نَّحْنُ أَعْلَمُ بِمَا يَقُولُونَ ۖ وَمَآ أَنتَ عَلَيْهِم بِجَبَّارٍۢ ۖ فَذَكِّرْ بِٱلْقُرْءَانِ مَن يَخَافُ وَعِيدِ ٤٥
نَّحۡنُﲣ
أَعۡلَمُﲤ
بِمَاﲥ
يَقُولُونَۖﲦﲧ
وَمَآﲨ
أَنتَﲩ
عَلَيۡهِمﲪ
بِجَبَّارٖۖﲫﲬ
فَذَكِّرۡﲭ
بِٱلۡقُرۡءَانِﲮ
مَنﲯ
يَخَافُﲰ
وَعِيدِﲱ
٤٥ﲲ
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Sisi ni wajuzi zaidi kwa wanayoyasema hawa washirikina, ya kumzulia Mwenyezi Mungu urongo na kukanusha aya Zake. Na hukuwa wewe, ewe Mtume, umepewa nguvu juu yao ya kuwalazimisha waingie katika Uislamu, hakika ni kwamba wewe umetumilizwa uwe mfikishaji. Basi mkumbushe kwa Qur’ani anayeogopa onyo langu, kwa kuwa asiyeogopa onyo (la Mwenyezi Mungu) hafaidiki kwa kukumbushwa.