تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis التفسير: ق آية 15

١٥:٥٠
افعيينا بالخلق الاول بل هم في لبس من خلق جديد ١٥
أَفَعَيِينَا بِٱلْخَلْقِ ٱلْأَوَّلِ ۚ بَلْ هُمْ فِى لَبْسٍۢ مِّنْ خَلْقٍۢ جَدِيدٍۢ ١٥
أَفَعَيِينَاﳃ
بِٱلۡخَلۡقِﳄ
ٱلۡأَوَّلِۚﳅﳆ
بَلۡﳇ
هُمۡﳈ
فِيﳉ
لَبۡسٖﳊ
مِّنۡﳋ
خَلۡقٖﳌ
جَدِيدٖﳍ
١٥ﳎ
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Kwani tulishindwa kuanzisha uumbaji wa kwanza tuliyouanzisha na hakukuwa na kitu chochote, mpaka tushindwe kuwarudisha wao wakiwa viumbe wapya baada ya kutoweka kwao? Hilo halitushindi. Bali sisi ni waweza wa hilo, lakini wao wako kwenye mshangao na shaka juu ya jambo la kufufuliwa na kukusanywa.