تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis التفسير: محمد آية 26

٢٦:٤٧
ذالك بانهم قالوا للذين كرهوا ما نزل الله سنطيعكم في بعض الامر والله يعلم اسرارهم ٢٦
ذَٰلِكَ بِأَنَّهُمْ قَالُوا۟ لِلَّذِينَ كَرِهُوا۟ مَا نَزَّلَ ٱللَّهُ سَنُطِيعُكُمْ فِى بَعْضِ ٱلْأَمْرِ ۖ وَٱللَّهُ يَعْلَمُ إِسْرَارَهُمْ ٢٦
ذَٰلِكَﲙ
بِأَنَّهُمۡﲚ
قَالُواْﲛ
لِلَّذِينَﲜ
كَرِهُواْﲝ
مَاﲞ
نَزَّلَﲟ
ٱللَّهُﲠ
سَنُطِيعُكُمۡﲡ
فِيﲢ
بَعۡضِﲣ
ٱلۡأَمۡرِۖﲤﲥ
وَٱللَّهُﲦ
يَعۡلَمُﲧ
إِسۡرَارَهُمۡﲨ
٢٦ﲩ
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Kule kuwanyoshea wao mpaka wakolee kwenye ukafiri, ni kwa kuwa wao walisema kuwaambia Mayahudi waliokanusha Aliyoyateremsha Mwenyezi Mungu, «Tutawatii katika baadhi ya mambo ambayo yako kinyume na amri ya Mwenyezi Mungu na amri ya Mtume Wake.» Na Mwenyezi Mungu Aliyetukuka Anayajua wanayoyaficha na wanayoydhihirisha. Basi Muislamu ajihadhari na kumtii asiyekuwa Mwenyezi Mungu katika mambo yaliyo kinyume na amri ya Mwenyezi Mungu, Aliyetakasika, na amri ya Mtume Wake Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie.