تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis التفسير: مريم آية 21

٢١:١٩
قال كذالك قال ربك هو علي هين ولنجعله اية للناس ورحمة منا وكان امرا مقضيا ٢١
قَالَ كَذَٰلِكِ قَالَ رَبُّكِ هُوَ عَلَىَّ هَيِّنٌۭ ۖ وَلِنَجْعَلَهُۥٓ ءَايَةًۭ لِّلنَّاسِ وَرَحْمَةًۭ مِّنَّا ۚ وَكَانَ أَمْرًۭا مَّقْضِيًّۭا ٢١
قَالَﲙ
كَذَٰلِكِﲚ
قَالَﲛ
رَبُّكِﲜ
هُوَﲝ
عَلَيَّﲞ
هَيِّنٞۖﲟﲠ
وَلِنَجۡعَلَهُۥٓﲡ
ءَايَةٗﲢ
لِّلنَّاسِﲣ
وَرَحۡمَةٗﲤ
مِّنَّاۚﲥﲦ
وَكَانَﲧ
أَمۡرٗاﲨ
مَّقۡضِيّٗاﲩ
٢١ﲪ
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Malaika akasema kumwambia, «Mambo ni hivyo kama unavyoeleza kwamba hakuna binadamu aliyekugusa na hukuwa mzinifu, lakini Mola wako Amesema, ‘Jambo hili kwangu ni pesi, na ili mtoto huyu awe ni alama kwa watu yenye kuonesha uweza wa Mwenyezi Mungu Aliyetukuka, na awe ni rehema itakayotokana na sisi kwake yeye, kwa mamake na kwa watu.’» Na kupatikana kwa Īṣā kinamna hii lilikuwa ni jambo lililokadiriwa katika Ubao uliohifadhiwa, basi hapana budi lifanyike.