تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis التفسير: ابراهيم آية 48

٤٨:١٤
يوم تبدل الارض غير الارض والسماوات وبرزوا لله الواحد القهار ٤٨
يَوْمَ تُبَدَّلُ ٱلْأَرْضُ غَيْرَ ٱلْأَرْضِ وَٱلسَّمَـٰوَٰتُ ۖ وَبَرَزُوا۟ لِلَّهِ ٱلْوَٰحِدِ ٱلْقَهَّارِ ٤٨
يَوۡمَﲑ
تُبَدَّلُﲒ
ٱلۡأَرۡضُﲓ
غَيۡرَﲔ
ٱلۡأَرۡضِﲕ
وَٱلسَّمَٰوَٰتُۖﲖﲗ
وَبَرَزُواْﲘ
لِلَّهِﲙ
ٱلۡوَٰحِدِﲚ
ٱلۡقَهَّارِﲛ
٤٨ﲜ
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Na malipizo ya Mwenyezi Mungu ya kuwatesa maadui Wake Siku ya Kiyama yatakuwa kwenye siku ambayo itabadilishwa hii ardhi kwa ardhi nyingine nyeupe iliyotakata kama fedha, na vilevile zitatabadilishwa mbingu kwa nyingine, na watatoka viumbe makaburini mwao wakiwa hai wakiwa wamejitokeza kukutana na Mwenyezi Mungu Aliye Mmoja, Mwenye kutendesha nguvu, Aliyepwekeka kwa utukufu Wake, majina Yake, sifa Zake na matendo Yake na kulazimisha Kwake kila kitu.