تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis التفسير: هود آية 92

٩٢:١١
قال يا قوم ارهطي اعز عليكم من الله واتخذتموه وراءكم ظهريا ان ربي بما تعملون محيط ٩٢
قَالَ يَـٰقَوْمِ أَرَهْطِىٓ أَعَزُّ عَلَيْكُم مِّنَ ٱللَّهِ وَٱتَّخَذْتُمُوهُ وَرَآءَكُمْ ظِهْرِيًّا ۖ إِنَّ رَبِّى بِمَا تَعْمَلُونَ مُحِيطٌۭ ٩٢
قَالَﱹ
يَٰقَوۡمِﱺ
أَرَهۡطِيٓﱻ
أَعَزُّﱼ
عَلَيۡكُمﱽ
مِّنَﱾ
ٱللَّهِﱿ
وَٱتَّخَذۡتُمُوهُﲀ
وَرَآءَكُمۡﲁ
ظِهۡرِيًّاۖﲂﲃ
إِنَّﲄ
رَبِّيﲅ
بِمَاﲆ
تَعۡمَلُونَﲇ
مُحِيطٞﲈ
٩٢ﲉ
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Akasema, «Enyi watu wangu! Kwani jamaa zangu ni wenye nguvu zaidi na ni watukufu zaidi kwenu kuliko Mwenyezi Mungu? Na mumeitupa amri ya Mola wenu, mkaiweka nyuma ya migongo yenu, mkawa hamjilazimishi kufuata amri Zake na hamjiepushi na makatazo Yake. Hakika Mola wangu ni kwa mnayoyafanya Ameyazunguka, hakuna chochote katika matendo yenu kinafichika Kwake hata kama kina uzito wa chungu mdogo, na Atawalipa kwa hizo kwa haraka au baadaye.