تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis التفسير: هود آية 2

٢:١١
الا تعبدوا الا الله انني لكم منه نذير وبشير ٢
أَلَّا تَعْبُدُوٓا۟ إِلَّا ٱللَّهَ ۚ إِنَّنِى لَكُم مِّنْهُ نَذِيرٌۭ وَبَشِيرٌۭ ٢
أَلَّاﲐ
تَعۡبُدُوٓاْﲑ
إِلَّاﲒ
ٱللَّهَۚﲓﲔ
إِنَّنِيﲕ
لَكُمﲖ
مِّنۡهُﲗ
نَذِيرٞﲘ
وَبَشِيرٞﲙ
٢ﲚ
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Na kuteremsha Qur’ani na kuzifafanua hukumu zake na kuzipambanua na kuipanga vizuri, ili mpate kumuabudu Mwenyezi Mungu, Peke Yake, Asiye na mshirika. Mimi kwenu nyinyi, enyi watu, ni muonyaji kutoka kwa Mwenyezi Mungu mwenye kuwaonya mateso Yake na ni mwenye kuwabashiria habari njema ya malipo Yake mema.