تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis التفسير: غافر آية 85

٨٥:٤٠
فلم يك ينفعهم ايمانهم لما راوا باسنا سنت الله التي قد خلت في عباده وخسر هنالك الكافرون ٨٥
فَلَمْ يَكُ يَنفَعُهُمْ إِيمَـٰنُهُمْ لَمَّا رَأَوْا۟ بَأْسَنَا ۖ سُنَّتَ ٱللَّهِ ٱلَّتِى قَدْ خَلَتْ فِى عِبَادِهِۦ ۖ وَخَسِرَ هُنَالِكَ ٱلْكَـٰفِرُونَ ٨٥
فَلَمۡﲺ
يَكُﲻ
يَنفَعُهُمۡﲼ
إِيمَٰنُهُمۡﲽ
لَمَّاﲾ
رَأَوۡاْﲿ
بَأۡسَنَاۖﳀﳁ
سُنَّتَﳂ
ٱللَّهِﳃ
ٱلَّتِيﳄ
قَدۡﳅ
خَلَتۡﳆ
فِيﳇ
عِبَادِهِۦۖﳈﳉ
وَخَسِرَﳊ
هُنَالِكَﳋ
ٱلۡكَٰفِرُونَﳌ
٨٥ﳍ
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Imani yao hiyo haikuwa ni yenye kuwanufaisha walipoiona adhabu yetu, kwa kuwa ni imani ambayo hawakuwa na budi nayo, na si Imani ya hiyari na kutaka. Huo ndio mpango na njia Aliyoiweka kwa ummah wote, kwamba Imani isiwanufaishe wanapoiona adhabu. Na itakapokuja adhabu ya Mwenyezi Mungu, wataangamia wenye kumkanusha Mola wao, wenye kukataa kumpwekesha na kumtii.